RAIS KIKWETE ATOLEWA NYUZI KATIKA MSHONO-AFYA YAKE YAZIDI KUIMARIKA NOV.22, 2014

2

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoka katika hospitali ya Johns Hopkins iliyopo Baltimore Maryland baada ya kutolewa nyuzi katika mshono baada ya kufanyiwa upasuaji wiki iliyopita.Rais Kikwete anatarajiwa kurudi tena hospitalini hapo Jumatatu kwa ukaguzi wa maendeleo ya kidonda na ushauri .Kulia kwake ni Daktari wa Rais
Profesa .Mohamed Janabi

 

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *