RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA VIONGOZI WA JUMUIYA YA KIKRISTO TANZANIA (CCT) IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.AGOSTI 7,2018

Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT)  ambaye pia ni Askofu Mkuu wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi  Alinikisya Cheyo, aliyeongoza ujumbe wa viongozi wapya wa Jumuiya hiyo kumtembelea na kujitambulisha kwake Ikulu jijini Dar es salaam. Agosti 7, 2018

Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Makamu wa Kwanza wa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT)  Dkt. Fredick Shoo wakati ujumbe wa viongozi wakuu  wa Jumuiya hiyo  ulipomtembelea na kujitambulisha kwake Ikulu jijini Dar es salaam.Agosti 7, 2018.

Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Makamu wa Pili  wa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT)  Dkt. Jacob Chimeledya wakati ujumbe wa viongozi wakuu  wa Jumuiya hiyo  ulipomtembelea na kujitambulisha kwake Ikulu jijini Dar es salaam.Agosti 7, 2018

Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo  na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT)  ambaye pia ni Askofu Mkuu wa Kanisa la Moravian Tanzania,  Alinikisya Cheyo, Makamu Mwenyekiti wa Kwanza wa Jumuiya hiyo Dkt. Fredick Shoo, Makamu wa Pili wa Mwenyekiti  Dkt Jacob Chimeledya na Katibu Mkuu wa CCT  Canon Moses Matonya ujumbe huo viongozi wapya wa jumuiya hiyo ulipomtembelea na kujitambulisha kwake Ikulu jijini Dar es salaam.Agosti 7, 2018

Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika sala na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT)  ambaye pia ni Askofu Mkuu wa Kanisa la Moravian Tanzania,  Alinikisya Cheyo, Makamu Mwenyekiti wa Kwanza wa Jumuiya hiyo Dkt. Fredick Shoo, Makamu wa Pili wa Mwenyekiti  Dkt Jacob Chimeledya na Katibu Mkuu wa CCT  Canon Moses Matonya ujumbe huo viongozi wapya wa jumuiya hiyo ulipomtembelea na kujitambulisha kwake Ikulu jijini Dar es salaam.Agosti 7, 2018

 

Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasindikiza Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT)  ambaye pia ni Askofu Mkuu wa Kanisa la Moravian Tanzania,  Alinikisya Cheyo, Makamu Mwenyekiti wa Kwanza wa Jumuiya hiyo Dkt. Fredick Shoo, Makamu wa Pili wa Mwenyekiti  Dkt Jacob Chimeledya na Katibu Mkuu wa CCT  Canon Moses Matonya ujumbe huo viongozi wapya wa jumuiya hiyo ulipomtembelea na kujitambulisha kwake Ikulu jijini Dar es salaam.Agosti 7, 2018

Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Makamu Mwenyekiti wa Kwanza wa Jumuiya hiyo Dkt. Fredick Shoo mara baada ya ujumbe huo viongozi wapya wa jumuiya hiyo ulipomtembelea na kujitambulisha kwake Ikulu jijini Dar es salaam.Agosti 7, 2018

Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana  na Makamu wa Pili  wa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT)  Dkt. Jacob Chimeledya wakati ujumbe wa viongozi wakuu  wa Jumuiya hiyo  ulipomtembelea na kujitambulisha kwake Ikulu jijini Dar es salaam.Agosti 7, 2018

Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Katibu Mkuu wa CCT  Canon Moses Matonya mara baada ya ujumbe huo viongozi wapya wa jumuiya hiyo ulipomtembelea na kujitambulisha kwake Ikulu jijini Dar es salaam.Agosti 7, 2018

 

Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wanahabari mara baada ya kukutana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT)  ambaye pia ni Askofu Mkuu wa Kanisa la Moravian Tanzania,  Alinikisya Cheyo, Makamu Mwenyekiti wa Kwanza wa Jumuiya hiyo Dkt. Fredick Shoo, Makamu wa Pili wa Mwenyekiti  Dkt Jacob Chimeledya na Katibu Mkuu wa CCT  Canon Moses Matonya ujumbe huo viongozi wapya wa jumuiya hiyo ulipomtembelea na kujitambulisha kwake Ikulu jijini Dar es salaam.Agosti 7, 2018

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *