Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika utalii wa kuvua Samaki kwa kutumia boti ya Mv Sokwe kwenye Ziwa Victoria katika Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo iliyopo Chato mkoa wa Geita. Desemba 31,2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiendesha Boti ya utalii ya Mv Sokwe alipokuwa katika utalii wa kuvua Samaki kwenye Ziwa Victoria katika Hifadhi ya Taifa ya kisiwa cha Rubondo iliyopo Chato Mkoa wa Geita. Desemba 31,2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiendesha Boti ya utalii ya Mv Sokwe alipokuwa katika utalii wa kuvua Samaki kwenye Ziwa Victoria katika Hifadhi ya Taifa ya kisiwa cha Rubondo iliyopo Chato Mkoa wa Geita. Desemba 31,2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ndani ya Boti ya utalii ya Mv Sokwe alipokuwa katika utalii wa kuvua Samaki kwenye Ziwa Victoria katika Hifadhi ya Taifa ya kisiwa cha’ Rubondo iliyopo Chato Mkoa wa Geita. Desemba 31,2019.
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwa amefanikiwa kuvua samaki
aina ya Sangara Ziwa Victoria wakati wa ziara ya Hifadhi ya Taifa ya
Kisiwa Cha Rubondo wilayani Chato mkoa wa Geita. Desemba 31, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli wakiwana samaki aina ya Sangara waliowavua Ziwa Victoria walipofanya ziara ya Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa Cha Rubondo wilayani Chato mkoa wa Geita Desemba 31, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akielekea kupanda kivuko cha Mv Chato katika Ziwa Victoria akielekea Hifadhi ya Taifa ya kisiwa cha Rubondo iliyopo Chato Mkoa wa Geita. Desemba 31,2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akipungia mkono boti lililobeba watalii wakati wakielekea Hifadhi ya
Taifa ya Kisiwa cha Rubondo ambako yeye pia alitembelea Desemba 31, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Maafisa na Askari wa Hifadhi ya Taifa ya kisiwa cha Rubondo iliyopo Chato Mkoa wa Geita, alipotembelea hifadhi hiyo Desemba 31,2019.
Askari wa Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa Cha Rubondo iliyopo Chato Mkoani Geita wakishangilia wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipotembelea na kuzungumza nao katika makao makuu ya Hifadhi hiyo Desemba 31,2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa na Askari wa Hifadhi ya Taifa ya kisiwa cha Rubondo iliyopo Chato Mkoa wa Geita, alipotembelea hifadhi hiyo Desemba 31,2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa na Askari wa Hifadhi ya Taifa ya kisiwa cha Rubondo iliyopo Chato Mkoa wa Geita, alipotembelea hifadhi hiyo Desemba 31,2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Kamishna Mkuu wa Uhifadhi wa Shirika la hifadhiza Taifa (TANAPA) Dkt. Allan Kijazi wakiangalia mazingira ya Hifadhi ya Taifa ya kisiwa cha Rubondo iliyopo Chato Mkoa wa Geita, alipotembelea hifadhi hiyo Desemba 31,2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mkewe Janeth Magufuli pamoja na Kamishna Mkuu wa Uhifadhi wa Shirika la hifadhiza Taifa (TANAPA) Dkt. Allan Kijaziwakiwa katika Hifadhi ya Taifa ya kisiwa cha Rubondo iliyopo Chato Mkoa wa Geita, walipotembelea hifadhi hiyo Desemba 31,2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mkewe Janeth Magufuli wakiwa katika Hifadhi ya Taifa ya kisiwa cha Rubondo iliyopo Chato Mkoa wa Geita, walipotembelea hifadhi hiyo Desemba 31,2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na familia ya watalii ya klutoka Ufaransa ya Bw. Arnaud de Vanssay aliokutana nao wakati akitembelea Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo .Desemba 31, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na familia ya watalii ya klutoka Ufaransa ya Bw. Arnaud de Vanssay aliokutana nao wakati akitembelea Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo .Desemba 31, 2019