Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mkuu wa mkoa wa Njombe Mhandisi Marwa Mwita Bubirya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe Ikulu ya Chamwino Dodoma leo Julai 20 ,2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Aloyce Nzuki kuwa Katibu Mkuu wa wizara ya Maliasili na Utalii Ikulu ya Chamwino Dodoma leo Julai 20 ,2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mhandisi Anthony Sanga kuwa Katibu Mkuu wa wizara ya Maji, Ikulu ya Chamwino Dodoma leo Julai 20 ,2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Seif Shekilage kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Songwe Ikulu ya Chamwino Dodoma leo Julai 20 ,2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Allan Kijazi kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Ikulu ya Chamwino Dodoma leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mhandisi Nadhifa Kemikimba kuwa Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya Maji , leo Ikulu ya Chamwino Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Mwinyi Talib Haji kuwa Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa Ikulu ya Chamwino Dodoma leo Julai 20 ,2020
Viongozi wateule wakila Kiapo cha maadili mbele ya Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu ya Chamwino Dodoma leo Julai 20 ,2020