MHE.RAIS DKT.JOHN.P.MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA DOMINIKA YA 21 YA MWAKA A NA UZINDUZI WA KANISA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufulia akipokea michango kwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dodoma Mhashamu Beatus Kinyaiya aliposhiririki iliyotokana na harambee kuchangiau ujenziwa Msikiti wa Chamwino wakati wa Misa Takatifu ya Dominika ya 21 ya Mwaka “A” ambapo pia alizindua Kanisa, Nyumba ya Mapadres na Grotto ya Parokia ya Bikira Maria Imakulata Ikulu Chamwino Jumapili Agosti 23,. 2020

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufulia akiwashukuru kwa  michango ya ujenzi wa Msikiti wa Chamwino wakati wa Misa Takatifu ya Dominika ya 21 ya Mwaka “A” ambapo pia alizindua Kanisa, Nyumba ya Mapadre na Grotto ya Parokia ya Bikira Maria Imakulata Ikulu Chamwino leo Jumapili 23,. 2020Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika Picha ya pamoja na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dodoma Mhashamu Beatus Kinyaiya, Katibu wa Baraza la Maaskofu Tanzania )TEC) Padri Dkt. Charles Kitima na Paroko wa Kanisa hilo Paul Mapalala baada ya kushiriki Misa Takatifu ya Dominika ya 21 ya Mwaka “A” .

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufulia akikabidhi michango kwa Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dodoma Mhashamu Beatus Kinyaiya  Michango hiyo ilitokana na  harambee ya kuchangiau ujenzi wa Msikiti wa Chamwino wakati wa Misa Takatifu ya Dominika ya21 ya Mwaka “A” ambapo pia alizindua Kanisa, Nyumba ya Mapadre  na Grotto ya Parokia ya Bikira Maria Imakulata .

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *