RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AKUTANA NA WAJUMBE WA JOPO LA KUTATHMINI PROGRAMU YA TEKELEZA KWA MATOKEO MAKUBWA SASA (BRN) JANUARI 16, 2015

111122222

Rais Jakaya Mrisho Kikweteakifanya mazungumzo na wajumbe wa wajumbe wa  jopo maalum la kutathimin Program ya Tekeleza kwa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) iliyoongozwa na kwa Rais Mstaafu wa Botswana Mhe. Dkt. Festus  Mogae (aliyekaa wa kwanza kula kwa Rais Kikwete)  Ikulu jijini Dare s salaam January 16,2015

2axaxaxa (2)

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikabidhi Tunzo maalum ya Vision 2025 Big Results Now kwa Rais Mstaafu wa Botswana Mhe. Dkt. Festus  Mogae aliyeongoza jopo maalum la kutathimin Program ya Tekeleza kwa Matokeo Makubwa Sasa Ikulu jijini Dare s salaam January 16,2015

2axaxaxa (1)

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikabidhi Tunzo maalum ya Vision 2025 Big Results Now kwa Dkt. Sipho Moyo Mkurugenzi mtendaji wa ONE wa kanda ya Africa alyekuwa mongoni wa  wajumbe wa  jopo maalum la kutathimin Program ya Tekeleza kwa Matokeo Makubwa Sasa Ikulu jijini Dare s salaam January 16,2015

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *