Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimpa zawadi Rais wa Jamhuri ya Msumbiji na Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimpa zawadi ya picha ya Wanyama watano (The Big Five) mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji na Mwenyekiti wa SADC Mhe. Filipe Jacinto Nyusi mara baada ya kuwasili katika Ikulu ndogo ya Chato mkoani Geita.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *