PICHA : UAPISHO WA MHE. JAJI ZEPHARINE GALEBA WA MAHAKAMA YA RUFANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Mhe. Zepharine Nyalugenda Galeba kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzaia kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu Chamwino leo Jumanne Februari 2, 2021
Mhe. Zepharine Nyalugenda Galeba Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *