RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE MGENI RASMI KWENYE KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 75 YA TANZANIA ASSEMBLIESE OF GOD (TAG) MBEYA

S

 

 

SONY DSC

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili uwanja wa ndege Songwe Mbeya kwa ajili ya kuhudhuria kilele cha maadhimisho ya miaka 75 ya kanisa la  Tanzania Assembliese of God (TAG) Mbeya  Julai 13,2014

SONY DSC

 

Vijana wa halaiki wanogesha maadhimisho ya miaka 75 ya Tanzania assembliese of god katika uwanja wa Sokoine  Mkoani Mbeya julai  13,2014

SONY DSC

maadhimisho ya miaka 75 ya Tanzania Assembliese of God  yalifunguliwa kwa wimbo wa taifa ulioongozwa na kikosi cha bendi cha jeshi la Magereza katika uwanja wa Sokoine  Mkoani Mbeya julai  13,2014

zaxsc

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia maelfu ya wananchi kwenye  kilele cha Sherehe za Miaka 78 ya kanisa la Tanzania Assemblies of God  katika uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya leo Julai 13, 2014

xxclnci

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizindua kitabu cha  Tanzania Assemblies of God (TAG) akiwa na  Askofu Mkuu wa TAG Dkt Barnabas Weston Mtokambali wakati wa kilele cha Sherehe za Miaka 78 ya kanisa hilo katika uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya  Julai 13, 2014

1

 

tuzo

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikabidhiwa tuzo na Askofu Mkuu wa Tanzania Assemblies of God (TAG) Dkt Barnabas Weston Mtokambali wakati wa kilele cha Sherehe za Miaka 78 ya kanisa hilo katika uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya  Julai 13, 2014

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *