UFUNGUZI WA SOKO KISUTU NA JENGO LA CHAMA LA JITEGEMEE LUMUMBA.




Rais wa. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akizundua rasmi jengo la Jitegemee House pamoja na Studi za Channel Ten Plu,Radio Magic FM na Radio Classic FM leo Alhamisi Februari 25, 2021
Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli akifurahi bada ya kuutazama wimbo aliouomba wa mwanamziki Prof. Jay na Stamina uitwao Baba na kuangalia wimbo akiwa studio za AMG inayomiliki Channel Ten Channel Ten Plus radio classic na radio Magic FM
Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na mtangazaji Salum Mkambaya kabla ya kuomba kupigiwa wimbo wa mwanamziki Prof. Jay na Stamina uitwao Baba na kuangalia wimbo akiwa studio za AMG inayomiliki Channel Ten Channel Ten Plus radio classic na radio Magic FM

Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na mtangazaji Salum Mkambaya kabla ya kuomba kupigiwa wimbo wa mwanamziki Prof. Jay na Stamina uitwao Baba na kuangalia wimbo akiwa studio za AMG inayomiliki Channel Ten Channel Ten Plus radio classic na radio Magic FM

Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na wafanyakazi wa Kampuni ya habari ya chama , AMG inayomiliki Channel Ten Channel Ten Plus radio classic na radio Magic FM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiagana na wananchi na viongozi wa Dar es salaam alipomaliza
kuwahutubia katika mkutano wa hadhara viwanja vya Mnazi Mmoja jijini
baada ya kuzindua Soko Kuu la Kisutu pamoja na Studio za Channel Ten.
Plus TV, Radio Magic FM. na Radio Classif FM leo Alhamisi Februari 25,
2021
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa Soko Kuu la Kisutu
leo Alhamisi Februari 25,2021

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *