SHEREHE ZA MIAKA 38 YA KUZALIWA CCM ZAFANA SANA MJINI SONGEA LEO FEBRUARY 01,2015

1ccm

 

2ccm

 

3ccm

 

4ccm

Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM Taifa  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na maelfu ya wananchi wakati akiingia katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo  kuongoza kilele cha sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM

5ccm

unnamed

 Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride la heshima lililoandaliwa na UVCCM katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo  katika  kilele cha sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM

6ccm

 

7ccm

 Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete  wakipokea gwaride la heshima lililoandaliwa na UVCCM katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo  katika  kilele cha sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM

9ccm

Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia maelfu ya wananchi uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo katika  kilele cha sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM

10ccm

Msanii Diamond akipongezwa na chipukizi wa UVCCM baada ya kutumbuiza katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo  katika  kilele cha sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
11ccm

Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea wanachama wapya akiwa na Mbunge wa Songea Mjini Dkt Emmanuel Nchimi na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea February 01, 2015  katika  kilele cha sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *