ZIARA YA RAIS JAKAYA KIKWETE MKOA WA RUVUMA WILAYA YA SONGEA MJINI

efkekk

Rais Jakaya Kikwete akipokelewa na mkuu na Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu ,kwa ajili ya kuanza ziara ya kukagua shughuli za Maendeleo Mkoani humo Julai 17,2014

ANGALIA VIDEO JINSI RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE ALIVYOWASILI SONGEA MJINI KWA ZIARA YA SIKU SABA MKOA WA RUVUMA NA KUKAGUA HIFADHI YA CHAKULA NA KUFUNGUA GHALA LA KUHIFADHI CHAKULA NA KISHA KUFUNGUA NYUMBA ZILIZOJENGWA KWA GHARAMA NAFUU ZA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC)

g5t5y5y

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua ghala la Mahindi mjini Songea leo wakati wa mwanzo wa ziara yake ya kikazi Mkoani Ruvuma ambapo alizindua rasmi ghala hilo.Kulia ni Mkurugenzi mkuu wa wakala wa hifadhi ya taifa ya Chakula Bwana Charles Walwa.Rais Kikwete amewasii Mkoani Ruvuma  julai 17,2014

2

 

3

 

1

 

6

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua ghala la Mahindi mjini Songea wakati wa mwanzo wa ziara yake ya kikazi Mkoani Ruvuma ambapo alizindua rasmi ghala hilo Julai 17,2014

sccdcc

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua jiwe la msingi wakati wa ufunguzi wa nyumba  zilizojengwa kwa gharama nafuu na Shirika la Nyumba la Taifa(NHC)  Mkuzo wilayani Songea mjini Mkoani Ruvuma Julai 17,2014 .Kushoto ni  kaimu Mkurugenzi wa NHC Bwana David Misonge Shambwe na wwapili kushoto ni Waziri wa Ardhi Nyumba na makazi Prof.Anna Tibaijuka.

scsccdc

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kufungua rasmi nyumba zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa NHC  Mkuzo, wilayani Songea mjini mkoani Ruvuma Julai 17,2014. Kutoka kushoto ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi Prof.Anna Tibaijuka, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa Bwana David Misonge Shambwe, na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Bwana Said Mwambungu

D92A2347

Aina ya  nyumba zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa NHC  Mkuzo, wilayani Songea mjini mkoani Ruvuma 

D92A2262

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete  akabidhi mashine za kufyatulia matofari kwa vijana wajasiliamali wawilaya ya  songea mjini mashine zilizotolewa na Shirika la Nyumba la Taifa(NHC)  Julai 17,2014 

3

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na kaimu Mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU Bibi Mary Mosha wakifunua kitambaa katika jiwe la msingi wakati wa ufunguzi wa jengo la ofisi za TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma  Julai 17,2014

2

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kufungua rasmi jengo la ofisi ya TAKUKURU mkoa wa Ruvuma  mjini Songea Julai 17,2014

pccb jengo

  Jengo la ofisi ya TAKUKURU mkoa wa Ruvuma  mjini Songea iliyofunguliwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete Julai 17,2014

D92A2565

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipanda mti wa kumbukumbu wakati wa ufunguzi  rasmi wa ofisi za taasisi ya kuzuia rushwa TAKUKURU mkoa mjini Songea Julai17,2014.Kushoto ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete na kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bibi Mary Mosha.

kaimu pccb

kaimu Mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU Bibi Mary Mosha  akisoma taarifa ya utekelezaji wa ujenzi wa jengo la ofisi ya TAKUKURU lililofunguliwa na Rais wa Jakaya Mrisho Kikwete Julai 17,2014

 

 

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *