RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE AFUNGUA MAFUNZO YA WAKUU WAPYA WA WILAYA DODOMA MACHI 17, 2015

1a1

 

1a

 

Waziri wa TAMISEMI Mhe.Hawa Ghasia na naibu wake  Mhe. Aggrey Mwanri  wakimkaribisha Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wakati alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya St.Gaspar mjini Dodoma Machi 17,2015 kwa ajili ya kufungua rasmi mafunzo ya wakuu wa  wilaya wapya yanayofanyika katika ukumbi wa hoteli hiyo

1a2

Waziri wa TAMISEMI Mhe.Hawa Ghasia  akitoa hotuba ya utangulizi kwa ajili ya kumkaribisha   Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati alipowasili katika Ukumbi wa Hoteli ya St.Gaspar mjini Dodoma Machi 17,2015 kwa ajili ya kufungua rasmi mafunzo ya wakuu wa  wilaya wapya yanayofanyika katika ukumbi wa hoteli hiyo

1b

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifungua rasmi mafunzo ya wakuu wa  wilaya wapya yanayofanyika katika ukumbi wa hosteli ya St.Gaspar mjini Dodoma Machi 17,2015 Kushoto ni Waziri wa TAMISEMI Mhe.Hawa Ghasia,Watatu kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Galawa na kulia ni Naibu waziri TAMISEMI Mhe.Aggrey Mwanri

4

 

3

 

2

Wakuu wa wilaya wakisikiliza kwa makini hotuba ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete aliyoitoa wakati wa ufunguzi rasmi wa mafunzo kwa wakuu wapya wa wilaya mjini Dodoma Machi 17,2015

unnamed

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wapya wa wilaya aliowateua hivi karibuni baada ya kufungua semina elekezi ya uongozi mjini Dodoma Machi 17,2015 katika ukumbi wa St.Gaspar Wengine katika picha walioketi mbele ni Waziri wa TAMISEMI Mhe. Hawa Ghasia (Watatu kushoto), Naibu Waziri wa TAMISEMI Mhe. Aggrey Mwanri (Wapili kulia), Katibu Mkuu TAMISEMI Bwana Jumanne Sagini (kushoto), Mwenyekiti wa wakuu wa mikoa ambaye pia ni Mkuu wa mkoa wa Mbeya Bwana Abbas Kandoro (wapili kushoto), na watano kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Galawa

 

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *