Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa Kituo cha Taifa cha kuhifadhi Kumbukumbu na nyaraka huko kisasa mjini Dodoma Machi 18,2015 Wapili kushoto ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, watatu kushoto ni Mwenyekiti wa BungeMh. Zungu na kulia ni Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora Mh.George Mkuchika.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi na kukata utepe kufungua rasmi Kituo cha Taifa Cha kuhifadhi Kumbukumbu na nyaraka kilichopo Kisasa mjini Dodoma machi 18,2015
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa wafanyakazi wa ofisi hiyo jinsi Kumbukumbu zinavyoifadhiwa katika Kituo cha Taifa Cha kuhifadhi Kumbukumbu na nyaraka kilichopo Kisasa mjini Dodoma Machi 18,2015
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia moja ya kumbukumbu zilizohifadhiwa katika Kituo cha Taifa Cha kuhifadhi Kumbukumbu na nyaraka kilichopo Kisasa mjini Dodoma Machi 18,2015
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia kumbukumbu zilizohifadhiwa katika Kituo cha Taifa Cha kuhifadhi Kumbukumbu na nyaraka kilichopo Kisasa mjini Dodoma Machi 18,2015
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia jalada la mwaka 1940 ambapo alisoma utendaji kazi wa Babu yake Chifu wa Kabila la Wakwere Mrisho Kikwete wakati huo. Jalada hilo ni moja ya majalada ya zamani yaliyohifadhiwa kutumia teknolojia ya kisasa katika Kituo Cha Taifa Cha kuhifadhi Kumbukumbu na nyaraka kilichopo Kisasa mjini Dodoma.Katika hotuba yake wakati wa ufunguzi wa kituo hicho Rais Kikwete ametoa agizo la kuanzishwa Maktaba za Viongozi wa kitaifa hususan Marais wastaafu ili kuhifadhi vyema historia ya nchi.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na viongozi waliohudhulia ufunguzi huo na kasha na wafanyakazi wa kituo cha Taifa Cha kuhifadhi Kumbukumbu na nyaraka kilichopo Kisasa mjini Dodoma baada ya kukifungua rasmi Machi 18,2015
Jengo ambalo limefunguliwa rasmi na Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambalo ni Kituo cha Taifa Cha kuhifadhi Kumbukumbu na nyaraka kilichopo Kisasa mjini Dodoma
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiondoka katika Jengo la kituo cha Taifa Cha kuhifadhi Kumbukumbu na nyaraka kilichopo Kisasa mjini Dodoma baada ya kukifungua rasmi Machi 18,2015