DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE NA AMIRI JESHI MKUU AFUNGA MAFUNZO YA MAAFISA WA JESHI LA POLISI KATIKA CHUO CHA POLISI KURASINI MACHI 23,2015

p57

 

Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Amiri jeshi Mkuu akiweka sainim katika kitabu cha wageni baada ya kuwasili katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Machi 23,2015 Kurasini, Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufunga mafunzo ya maafisa wa jeshi la polisi

p89

Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Amiri jeshi Mkuu akiwasili katika viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Polisi Machi 23,2015 Kurasini, Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufunga mafunzo ya maafisa wa jeshi la polisi

p56

 

p55

 

p54

 

p53

Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Amiri jeshi Mkuu akisalimiana na viongozi ngazi ya juu wa jeshi la polisi mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Polisi Machi 23,2015 Kurasini, Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufunga mafunzo ya maafisa wa jeshi la polisi

p52

 

Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Amiri jeshi Mkuu akisalimiana na mkuu wa jeshi la polisi mustaafu Insp. General Said Mwema wakati alipowasili katika viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Polisi Machi 23,2015 Kurasini, Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufunga mafunzo ya maafisa wa jeshi la polisi

p12

 

p14

 

p13

 

p16

 

p15

 

p20

 p23

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Amiri jeshi Mkuu akikagua Gwaride Maalum lililoandaliwa na Wahitimu wa kozi ya Uofisa na Ukaguzi wa Jeshi la Polisi Machi 23, 2014 katika Chuo cha Taaluma ya Polisi, Kurasini, Jijini Dar Es Salaam.

p38

 

p37

 

p36

Gwaride Maalum lililoandaliwa na Wahitimu wa kozi ya Uofisa na Ukaguzi wa Jeshi la Polisi Machi 23, 2014 katika Chuo cha Taaluma ya Polisi, Kurasini, Jijini Dar Es Salaam likipita mbelea ya mgeni rasmi Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Amiri jeshi Mkuu

p34

 

 

p33

 

p32

 

p31

 

p30

 

 

p27

Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Amiri jeshi Mkuu akimvisha vyeo baadhi ya wahitimu wa Kozi ya Ukaguzi wa Polisi katika Sherehe za kuhitimisha Mafunzo zilizofanyika katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Machi 23,2015 Kurasini, Jijini Dar es Salaam

p66

 

 

p68

Naibu Waziri wa mambo ya ndani ya Nchi mhe. Pereira Silima pamoja na mkuu wa jeshi la polisi Insp. General Elinest Mango wakitoa hotuba ya utangulizi kumkaribisha Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Amiri jeshi Mkuu kwa ajili ya kutoa hotuba ya kufunga mafunzo ya maafisa wa jeshi la polisi katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Machi 23,2015 Kurasini, Jijini Dar es Salaam

1eqarwfwf

Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Amiri jeshi Mkuu akitoa hotuba ya kufunga mafunzo ya maafisa wa jeshi la polisi katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Machi 23,2015 Kurasini, Jijini Dar es Salaam

p73

 

 

p83

 

p82

Picha ya pamoja ya Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Amiri jeshi Mkuu, wahitimu pamoja na viongozi wa jeshi hilo.

p64

 

 

p63

Vikundi mbalimbalivya burudani vya jeshi la polisi vilikuwepo katika viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Polisi Machi 23,2015 Kurasini wakati wa hafla hiyo

 

 

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *