RAIS DKT. JAKAYA MRISHOKIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA VIONGOZI KAMATI YA AMANI MKOA WA DAR ES SALAAM MACHI 28,2015

1nfidifjjdfk

Rais Dkt.Jakaya mrisho Kikwete akifungua mkutano wa Viongozi wa Dini wa Kamati ya Amani Mkoa wa Dar es Salaam uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere(JNICC) jijini Dar es Salaam Machi 28, 2015

1

Mkuatano huo  wa Viongozi wa Dini wa Kamati ya Amani Mkoa wa Dar es Salaam uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere(JNICC) jijini Dar es Salaam Machi 28, 2015 ulianza kwa Dua

2lvmbmlbm

 

3 (2)

 

D92A2844

Baadhi ya viongozi wa madhehebu ya dini mbalimbali wakimsikiliza kwa makini Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete alipokuwa akiwahutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Viongozi wa Kamati ya Amani Mkoa wa Dar es Salaam Machi 28,2015

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *