Rais Jakaya Mrisho Kikwete ambaye ni Mwenyekiti wa Jumhiya ya nchi za Afrika Mashariki akitoa taarifa ya kikao wa dharula cha kujadili hali ya amani katika nchini Burundi Mei 13,2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Ikulu Rais wa Kenya kwenye kikao wa dharula cha kujadili hali ya amani katika nchini Burundi Mei 13,2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Ikulu Rais wa Uganda kwenye kikao wa dharula cha kujadili hali ya amani katika nchini Burundi Mei 13,2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na rais Paul Kagame wa Rwanda Muda mfupi kabla ya kuanza kikao wa dharula cha kujadili hali ya amani katika nchini Burundi Mei 13,2015