RAIS KIKWETE AAPISHA MAJAJIN WAWILI WA MAHAKAMA YA RUFAA, JUNI 16,2015

123

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwaapisha jaji Augustine Gherabast Mwarija , jaji wa Mahakama ya Rufani Ikulu jijini dar es salaam juni 16, 2015  

234

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini yalaka za uaapisho baada ya kumwaapisha jaji Augustine Gherabast Mwarija , jaji wa Mahakama ya Rufani Ikulu jijini Dar es salaam juni 16, 2013

333aaaa

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwaapisha jaji Stella Ester Augustine Mugasha , jaji wa Mahakama ya Rufani Ikulu jijini Dar es salaam juni 16, 2015

444bbb

 

 

555bbbb

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini yalaka za uaapisho na kumkabidhi baada ya kumwaapisha jaji Stella Ester Augustine Mugasha , jaji wa Mahakama ya Rufani Ikulu jijini Dar es salaam juni 16, 2013

YBY_2099

Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na familia ya jaji Augustine Gherabast Mwarija , jaji wa Mahakama ya Rufani Ikulu jijini dar es salaam juni 16, 2013 baada ya kuapishwa

 

 

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *