Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn wakifunua kitambaa katika jiwe la msingi na kukata utepe kuzindua rasmi kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya kuua viluwiluwi vya Mbu wanaoeneza Malaria kilichopo eneo la viwanda TAMCO kibaha,Mkoani Pwani 2,July 2015.Kulia ni Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mgeni wake Waziri Mkuu wa Ethiopia wakiangalia uzalishaji wa viuadudu vya mbu wanaoeneza Malaria kilichopo eneo la viwanda TAMCO kibaha,Mkoani Pwani leo muda mfupi baada ya uzinduzi rasmi July 2, 2015
Picha ya pamoja na wajenzi wa kiwanda hicho