BALOZI WA ARGENTINA NA QATAR WAWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO IKULU JIJINI DAR ES SALAMA JULAI 03,2015

2VBSCS

 

unnamed

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea hati za utambulisho kutoka kwa balozi mpya wa Argentina nchini Tanzania Mhe.Bibianna Lucila Johnes ikulu jijini Dar es Salaam Julai 03,2015 na kisha kufanya mazungumzo mafupi na balozi huyo

2

Balozi mpya wa Qatar katika Tanzania, Mheshimiwa Abdallah Jassim Mohamed Al-Medady katikati akipokelewa Ikulu jijini Dar es salaam

1n  sc d

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Julai 4, 2015, amepokea Hati za Utambulisho za Balozi mpya wa Qatar katika Tanzania, Mheshimiwa Abdallah Jassim Mohamed Al-Medady.Ikulu jijini Dar es salaam

3

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Julai 4, 2015, akimpokea  Balozi mpya wa Qatar katika Tanzania, Mheshimiwa Abdallah Jassim Mohamed Al-Medady.Ikulu jijini Dar es salaam

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *