RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AHUDHURIA MAADHIMISHO YA JUBILEE YA MIAKA 125 YA IJILI YA KANISA LA KKKT DAYOSIS YA KASIKAZINI MASHARIKI TANGA JULAI 05,2015

D92A4821

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Askofu Mkuu Wa Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania(KKKT) Dkt.Stephen Munga wakati wa maadhimisho ya Jubilee ya miaka 125 ya ijili ya  dayosisi hiyo yaliyofanyika katika viwanja vya Mbuyukenda mjini Tanga Julai 05, 2015

D92A4828

 Askofu Mkuu Wa Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania(KKKT) Dkt.Stephen Munga akimkaribisha Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete  wakati wa maadhimisho ya Jubilee ya miaka 125 ya ijili ya dayosisi hiyo yaliyofanyika katika viwanja vya Mbuyukenda mjini Tanga Julai 05, 2015 

D92A4783 

D92A4799 

D92A4807

 

 

D92A4795

Picha katika maadhimisho ya Jubilee ya miaka 125 ya ijili ya  dayosisi hiyo yaliyofanyika katika viwanja vya Mbuyukenda mjini Tanga Julai 05, 2015

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *