MHE.JOHN POMBE MAGUFULI ACHAGULIWA KWA KISHINDO KWA KURA 2104 = 87.1% KATI YA 2422 KUWA MGOMBEA URAIS WA CCM KATIKA UCHAGUZI MKUU UTAKAOFANYIKA OKTOBA, 2015

ANN

Mhe. Sipika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akitangaza matokeo ya mgombea Urais wa CCM atakaye peperusha Bendera ya CCM katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba , 2015

1assnd

 

D92A1275

Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Mhe.John Pombe magufuli baada ya kuchaguliwa na chama chake kuwa mgombea Urais wa CCM katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba , 2015

jkuhnmmc

Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiinua mikono juu kwa furaha baada ya kutangazwa kwa Mhe. John Pombe Magufuli kuwa  mgombea Urais wa CCM katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, 2015

D92A1323

 

D92A1321

 

D92A1315

 

D92A1307 Viongozi mbalimbali mashuhuri wa chama cha CCM akimpongeza Mhe.John Pombe magufuli kwa kuchaguliwa na chama chake kuwa mgombea Urais wa CCM katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba , 2015

IMGL0336

wakiteta jambo 

D92A1382

 

1B BPicha ya pamoja mama salma kikwete na mama janet magufuli

1234dl

Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwatambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM john Pombe Magufuli na  mgombea mwenza Samia Suluhu Hassan mara baada ya mkutano Mkuu wa CCM kuwachagua kupeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi wa Urais utakaofanyika Oktoba,2015  

D92A1392

 

1

 

D92A1254

Mhe.John Pombe magufuli mgombea Urais wa CCM akielekea meza Kuu baada ya kutangazwa kushinda  katika kura za ugombea Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba , 2015

CCM 2

 

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *