RAIS DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE NA AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA AAGWA RASMI NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA SEPTEMBA 01,2015

6

 

4

 

11

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzai  na Usalama Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride rasmi liliandaliwa na vikosi mbalimbali wakati wa sherehe ya kuagwa rasmi na vyombo vya ulinzi na usalama iiyofanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam Septemba 01,2015  

9

 

8

 

2

 

5

 

11

 

22

 

55

 

44

 

33Vikosi vya jeshi la ulinzi na usalama vikipita kwa ukakamavu mbele ya Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzai  na Usalama Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete  wakati wa sherehe ya kumuagwa rasmi katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam Septemba 01,2015

3

 

14

 

7

 

77

88

Kikosi cha makomandoo wa jeshi la ulinzi kikionyesha uhodari na ujasili wa hali ya juu katika mazoezi ya ukakamavu

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *