RAIS KIKWETE AKUTANA NA SPIKA NA NAIBU SPIKA WA BUNGE LA BURUNDI IKULU SEPTEMBA 03,2015

1 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na spika wa Bunge la Burundi Mhe.Paschal Nyabenda(kushoto) na Naibu Spika wa Bunge la Burundi Mhe.Agathon Rwasa muda mfupi baada kufanya mazungumzo ikulu jijini Dar es Salam Spika huyo na ujumbe wake walimtembelea Rais Kikwete September 03,2015

2 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Spika wa Bunge la Burundi Mhe. Paschal Nyabenda, naibu Spika wa Bunge hilo Agathon Rwasa pamoja wajumbe wengine ikulu jijini Dar es Salaam 

3

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *