RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA MZEE JOMO KENYATTA OKTOBA 5,2015

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa Mkuu wa Majeshi ya Kenya Jenerali Samson Mwathete katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Mkuu wa Majeshi ya Kenya Jenerali Samson Mwathete katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya akisalimiana n viongozi mbalimbali katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride la heshima  katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Gwaride la heshima likipita mbele na kutoa heshima kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Mkuu wa Majeshi ya Kenya Jenerali Samson Mwathete katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima wakati akikagua gwaride la heshima  katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya akisalimiana na viongozi mbalimbali katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha balozi wa Tanzania nchini Kenya Mhe. John Haule kwa mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya akisalimiana n viongozi mbalimbali katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Amos Makalla kwa  mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya akisalimiana n viongozi mbalimbali katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Saidi Meck Sadick kwa mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya akisalimiana n viongozi mbalimbali katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha IGP Ernest Mangu kwa  mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya akisalimiana n viongozi mbalimbali katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na wenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Mkewe Mama Margaret Kenayatta  Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini Kitabu cha wageni akishuhudiwa na wenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Mkewe Mama Margaret Kenayatta  Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na wenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Mkewe Mama Margaret Kenayatta  Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ofisini kwa  mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya akisalimiana  katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika mazungumzo na ujumbe wa Tanzania katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katik mazungumzo ya tete-a-tete  katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katik mazungumzo ya tete-a-tete  katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika tete-a-tete  katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika tete-a-tete katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta  katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya wakifurahia jambo baada ya picha ya pamoja na viongozi mbalimbali katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika kaburi la Baba wa Taifa la Kenya Hayati Mzee Jomo Kenyatta katika viunga vya bunge la nchi hiyo jijini Nairobi alikokwenda kutoa heshima zake na kuweka shada la maua leo Jumatatu October 5, 2015  ikiwa ni moja ya shughuli za ziara yake nchini humo.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima  katika kaburi la Baba wa Taifa la Kenya Hayati Mzee Jomo Kenyatta katika viunga vya bunge la nchi hiyo jijini Nairobi alikokwenda kutoa heshima zake na kuweka shada la maua leo Jumatatu October 5, 2015  ikiwa ni moja ya shughuli za ziara yake nchini humo.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka shada la maua  katika kaburi la Baba wa Taifa la Kenya Hayati Mzee Jomo Kenyatta katika viunga vya bunge la nchi hiyo jijini Nairobi alikokwenda kutoa heshima zake na kuweka shada la maua leo Jumatatu October 5, 2015  ikiwa ni moja ya shughuli za ziara yake nchini humo.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima  katika kaburi la Baba wa Taifa la Kenya Hayati Mzee Jomo Kenyatta katika viunga vya bunge la nchi hiyo jijini Nairobi alikokwenda kutoa heshima zake na kuweka shada la maua leo Jumatatu October 5, 2015  ikiwa ni moja ya shughuli za ziara yake nchini humo.

 KAburi la Baba wa Taifa la Kenya Hayati Mzee Jomo Kenyatta

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiaga baada ya kuzuru kaburi la Baba wa Taifa la Kenya Hayati Mzee Jomo Kenyatta katika viunga vya bunge la nchi hiyo jijini Nairobi alikokwenda kutoa heshima zake na kuweka shada la maua leo Jumatatu October 5, 2015  ikiwa ni moja ya shughuli za ziara yake nchini humo

 Ndege la Shirika la Ndege la Air Tanzania iliyomchukua Rais Kikwete ikiwasili uwanjani hapo

 Rais Kikwete akishuka katika ndege

 Rais Kikwete akilakiwa kwa furaha na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto

 Rais Kikwete akipokea shada la maua

 Rais Kikwete akitambulishwa kwa viongozi na maafisa mbalimbali wa Kenya

 Rais Kikwete akisalimiana na maafisa ubalozi wa Tanzania nchini Kenya

 Rais Kikwete akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya

 Rais Kikwete akiongozana na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto

 Rais Kikwete akiongea na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto

 Rais Kikwete na mwenyeji wake Naibu Rais wa Kenya Mhe Wiliam Ruto wakiangalia vikundi mbalimbali vya ngoma vilivyokwenda kumpokea uwanja wa ndege

 

 

 

 

 Rais Kikwete akiongozana na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto

 Rais Kikwte akiweka saini kitabu cha wageni

 Rais Kikwete akiangalia picha mbalimbali zenye historia ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta

 Mratibu wa hafla ya chakula cha usiku kilichoandaliwa na Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya akisom ratiba wakati wa kuanza kwa shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi 

  Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

 Balozi wa  Tanzania nchini kenya Mhe John Haule akiongea wakati wa hafla ya Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya waliyoandaa kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

 Balozi wa  Tanzania nchini kenya Mhe John Haule akiongea wakati wa hafla ya Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya waliyoandaa kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

RAIS KIKWETE AZINDUA JENGO LA KUHIFADHIA MADAWA LA HOSPITALI YA CCBRT JIJINI DAR ES SALAAM IJUMAA OKTOBA 3, 2015


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen Ijumaa Oktoba 3, 2015 . Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe Seif S. Rashid na katikati yao ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es salam Mhe Saidi Meck Sadick.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa  kwa  Mtendaji Mkuu wa CCBRT Bw. Erwin Telemans alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen. 

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete viongozi mbalimbali  alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wadau alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

 

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa mabalozi wa nchi wafadhili  alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mabalozi alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa mabalozi akiwa ameongozana na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa alipokwenda hospitalini hapo kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen.

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa na mabalozi na watoto wanaopata matibabu wakikata utepe kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen. Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe Seif S. Rashid 

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifunua pazia kuashiria kufunguliwa jengo l bohari ya madawa  huku akishuhudiwa na Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa

 Rais Kikwete akitembezwa katika bohari ya madawa ya hospitali ya CCBRT ambayo ni ya kisasa kabisa

 Rais Kikwete akitembezwa katika bohari ya madawa ya hospitali ya CCBRT ambayo ni ya kisasa kabisa

 

 Rais Kikwete akitembezwa katika bohari ya madawa ya hospitali ya CCBRT ambayo ni ya kisasa kabisa

 

 Rais Kikwete akinyunyizia maji mmea a Mbuyu uliopandwa kama kumbukumbu

 Rais Kikwete akifunua kitambaa chenye jina la aina ya huo mbuyu

 

 Rais Kikwete akipokea mchoro wa kitambaa uliotengenezwa na kinamama waliopona ugonjwa wa Fistula

 

 Watendaji na wagonjwa wa Fistula wakishuhudia

 

 Rais Kikwete akiwa na mtoto ambaye mama yake anatobiwa Fistula hospitalini hapo

 Rais Kikwete na wadau wengine wakipozi kwa furaha na kinamama walio katika matibabu ya Fistula kutoka kila pembe ya Tanzania

 Rais Kikwete akiwapongeza kinamama hao kwa kuwa mashujaa na kujitokeza kutibiwa ugonjwa wa Fistula ambao unatibika

 Rais Kikwete akifurahi na mzazi na mtoto anayesubiri kufanyiwa upasuaji wa mdomo-sungura

 Rais Kikwete akiongea na mtoto ambaye baada ya kupata  matibabu ya kuondoa mtoto wa jicho hapo CCBRT  ameweza kuona kwa mara ya kwanza maishani mwake

 Rais Kikwete  na wote wakimshangilia mtoto ambaye baada ya kupata  matibabu ya kuondoa mtoto wa jicho hapo CCBRT  ameweza kuona kwa mara ya kwanza maishani mwake

 

 Rais Kikwete akimpongeza mtoto ambaye baada ya kupata  matibabu ya kuondoa mtoto wa jicho hapo CCBRT  ameweza kuona kwa mara ya kwanza maishani mwake

 Sehemu ya kupumzikia iliyopo karibu na hio canteen mpya iliyozinduliwa

 Sehemu ya kupumzikia iliyopo karibu na hio canteen mpya iliyozinduliwa

 Mtendaji Mkuu wa CCBRT Bw. Erwin Telemans akiongea katika sherehe za  kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen

 Baadhi y wageni waalikwa na wafadhili wa mradi huo

 Mshauri wa ufundi wa hospitali ya CCBRT Dkt. Brenda D’Mello akitoa maelezo ya shughuli za hapo

 

 Sehemu ya kupumzikia iliyopo karibu na hio canteen mpya iliyozinduliwa

 Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Mhe Seif S. Rashid 

 Rais Kikwete akitoa hotuba yake ya kuzindua majengo hayo

 Rais Kikwete akitoa hotuba yake ya kuzindua majengo hayo

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa kwa hotuba na  Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa baada ya  kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipongezwa kwa hotuba na  Mtendaji wa  Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Bw. Erwin Telemans baada ya  kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen

 Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa akimshukuru Rais Kikwete kwa   kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen

 Rais Kikwete, Rais wa Bodi ya Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es salaam Dr Wilbroad Slaa, Waziri wa Afya na Mtendaji Mkuu baada ya  kuzindua jengo la bohari kuu ya madawa ya hospitali hiyo pamoja na canteen

 

 Karibuni vinywaji baridi waheshimiwa….”Anasema mmoja wa wahudumu

 Rais Kikwete akiongea na mabalozi mbalimbali

 Rais Kikwete na wadau wa hospitali ya CCBRT katika picha ya pamoja

  Rais Kikwete na watendaji  wa hospitali ya CCBRT katika picha ya pamoja

  Rais Kikwete na wafadhili  wa hospitali ya CCBRT katika picha ya pamoja

  Rais Kikwete na wajumbe wa Bodi ya  hospitali ya CCBRT katika picha ya pamoja

 Rais Kikwete akiagana na Balozi wa Ujerumani na mabalozi wengine baada ya sherehe hiyo