RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE AONGOZA SHEREHE ZA KILELE CHA MAADHIMISHO YA KUZIMA MWENGE DODOMA OKTOBA 14,2015

1n n, bn,b ,

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma na kuvikwa skafu tayari kuongoza maadhimisho ya Kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2015 na kumbukumbu ya miaka 16 ya kifo cha  Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Kauli mbiu ya mwaka huu ni “ Tumia haki yako ya kidemokrasia kupiga kura katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.

IMG_4301

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokelewa na mkuu wa mkoa wa Dodoma mara baada ya kuwasili katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma kuongoza maadhimisho ya mbio za mwenge wa Uhuru.

D92A6470Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika jukwaa malum akipigiwa wimbo wa taifa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma kuongoza maadhimisho yam bio za mwenge.  

D92A6482

 

D92A6490

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokelewa na mkuu wa mkoa wa Dodoma mara baada ya kuwasili katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma kuongoza maadhimisho ya mbio za mwenge wa Uhuru.

IMG_4325

 

IMG_4341

 

IMG_4342

 

IMG_4343Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa Ndugu Juma Khatib Chum akimkabidhi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mwenge wa uhuru wakati  wa sherehe za kilele cha Mbio za Mwenge zilizofanyika katika Uwanja wa Michezi wa Jamhuri mjini Dodoma Oktoba 14, 2015

IMG_4326

 

IMG_4328

 

IMG_4330

 

IMG_4333

 

IMG_4336Wakimbiza Mwenge wa Uhuru kitaifa wakikabiwa vyeti na  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa kilele cha mbio za mwenge wa uhuru  zilizofanyika katika Uwanja wa Michezi wa Jamhuri mjini Dodoma Oktoba 14, 2015