Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wafanyakazi wa mgodi mara baada ya kuwasili eneo la mgodi wa urani katika mradi wa mto mkuju wilaya ya namtumbo mkoa wa ruvuma Oktoba 21,2015
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo ya shughuli zinazofanyika kwenye mradi huo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo ya shughuli zinazofanyika kwenye mradi huo
Rias Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa kuzindua Mgodi wa Urani katika mradi wa mto Mkuju wilaya ya Namtumbo mkoa wa Ruvuma Oktoba 21,2015 kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu.