RAIS DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE AKIPIGA KURA YA RAIS, MBUNGE NA DIWANI KATIKA KITUO CHA KUPIGA KURA CHA HOSPITALI YA KIJIJI CHA MSOGA 25, 2015

1

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika foleni akisuburi zamu yake ya kupiga kura leo katika kituo cha hospitali ya kijiji cha Msoga kata ya Msoga wilayani Bagamoyo Oktoba 25,2015  

4

2 Ofisa katika kituo cha kupigia kura katika kituo cha hospitali ya kijiji cha Msoga akihakiki kadi ya kupiga kura ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete

5 - CopyRais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiandika kura yake ya siri kipiga kura ya Rais Mbunge na Diwani

6   v vccx

 

7

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipiga kura ya Rais Mbunge na Diwani katika kituo cha kupiga kura cha hospitali ya kijiji cha Msoga,Kata ya Msoga wilayani Bagamoyo  Kituo ambacho ndiko alipojiandikishia 

8

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka alama ishara ya kuwa tayari ameishapiga kura yake ya siri kuchagua Rais, Mbunge na Diwani

 

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *