Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika foleni akisuburi zamu yake ya kupiga kura leo katika kituo cha hospitali ya kijiji cha Msoga kata ya Msoga wilayani Bagamoyo Oktoba 25,2015
Ofisa katika kituo cha kupigia kura katika kituo cha hospitali ya kijiji cha Msoga akihakiki kadi ya kupiga kura ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiandika kura yake ya siri kipiga kura ya Rais Mbunge na Diwani
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipiga kura ya Rais Mbunge na Diwani katika kituo cha kupiga kura cha hospitali ya kijiji cha Msoga,Kata ya Msoga wilayani Bagamoyo Kituo ambacho ndiko alipojiandikishia
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka alama ishara ya kuwa tayari ameishapiga kura yake ya siri kuchagua Rais, Mbunge na Diwani