TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

UTEUZI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Bi. Zakhia Hamdan Meghji kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kwa kipindi cha pili.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *