Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally, alipowasili katika Msikiti Mkuu wa Bakwata Kinondoni Jijini Dar Es salaam kwa ajili ya kuhudhuria Swala ya Ijumaa tarehe 27 Mei 2022..Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiondoka katika Msikiti Mkuu wa Bakwata Kinondoni Jijini Dar Es salaam baada ya kumalizika kwa Swala ya Ijumaa tarehe 27 Mei 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuhitimisha ziara yake ya kikazi ya siku tatu , tarehe 26 Mei, 2022