Daily Archives: November 3, 2022

Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akutana na Kuzungumza na Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping, Beijing nchini China Tarehe 03 Novemba, 2022


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa The People Great Hall, Beijing nchini China tarehe 03, Novemba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping katika ukumbi wa The People Great Hall, Beijing nchini China tarehe 03, Novemba, 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika ukumbi wa The People Great Hall pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping Beijing nchini China tarehe 03, Novemba, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping wakati Wimbo wa Taifa wa Tanzania ukipigwa kwenye ukumbi wa The People Great Hall, Beijing nchini China tarehe 03, Novemba, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping wakati akikagua Gwaride la Heshima katika ukumbi wa The People Great Hall, Beijing nchini Chinatarehe 03, Novemba, 2022.
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping wakati akikagua Gwaride la Heshima katika ukumbi wa The People Great Hall, Beijing nchini Chinatarehe 03, Novemba, 2022.
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na ujumbe wake kwenye mazungumzo ya pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping, Beijing nchini China tarehe 03, Novemba, 2022.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali wa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa The People Great Hall, Beijing nchini Chinatarehe 03, Novemba, 2022.
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping wakishuhudia wakati Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Stergomena Tax pamoja na Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba wakisaini Mikataba mbalimbali baina ya Serikali ya Tanzania na China wakati wa ziara yake Beijing nchini humo tarehe 03, Novemba, 2022.

PRESS RELEASE

PRESIDENT SAMIA, JINPING WITNESS SIGNING OF 15 AGREEMENTS

President Samia Suluhu Hassan and President Xi Jinping of the People’s Republic of

China witnessed the signing of 15 strategic agreements today in Beijing aimed at strengthening bilateral cooperation, trade and investments between the two countries.

Tanzania will receive a grant of 100 million RMB from China as part of an Agreement on Economic and Technical Cooperation signed between the two nations.

A Protocol on Inspection, Quarantine and Veterinary Sanitary Requirement for WildAquatic Products to be exported from Tanzania to China was also signed by officials from the two countries.

A Protocol of Phytosanitary Requirements for Export of Fresh Avocado Fruits from Tanzania to China was signed, paving the way for increased avocado exports from Tanzania to the giant Chinese market. 

The two heads of state also witnessed the signing of a draft loan agreement on the Zanzibar International Airport Terminal II project, worth around $56.72 million.

The agreements were signed during the historic state visit by President Samia to China at the invitation of President Jinping, where the two leaders held official talks.

China is a leading source of foreign direct investment (FDI) into Tanzania, accounting for 1,098 investment projects in Tanzania by October 2022, worth $9.6 billion, which have created 131,718 jobs.