Daily Archives: November 11, 2023

Rais Samia akutana na Kuzungumza na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Benki ya EXIM ya Saudi pamoja na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo wa Saudi Jijini Riyadh

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Benki ya EXIM ya Saudi Mhandisi Saad Alkhalb, Riyadh nchini Saudi Arabia tarehe 10 Novemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Benki ya EXIM ya Saudi Mhandisi Saad Alkhalb pamoja na ujumbe wake Jijini Riyadh nchini Saudi Arabia tarehe 10 Novemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Benki ya EXIM ya Saudi Mhandisi Saad Alkhalb mara baada ya mazungumzo Jijini Riyadh nchini Saudi Arabia tarehe 10 Novemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Benki ya EXIM ya Saudi Mhandisi Saad Alkhalb wa nne kutoka kushoto pamoja na ujumbe wake mara baada ya mazungumzo Jijini Riyadh nchini Saudi Arabia tarehe 10 Novemba, 2023.

Rais Samia ashiriki Mkutano wa Saudi Arabia na Nchi za Afrika unaofanyika Jijini Riyadh

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye pamoja na Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema kabla ya kuingia kwenye Mkutano wa Saudi Arabia na Nchi za Afrika unaofanyika Jijini Riyadh tarehe 10 Novemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye kabla ya kuingia kwenye Mkutano wa Saudi Arabia na Nchi za Afrika unaofanyika Jijini Riyadh tarehe 10 Novemba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali waliohudhuria Mkutano wa Saudi Arabia na Nchi za Afrika unaofanyika Jijini Riyadh tarehe 10 Novemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Saudi Arabia na Nchi za Afrika unaofanyika Jijini Riyadh tarehe 10 Novemba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo wa Saudi Bw. Sultan Abdulrahman Al-Marshad kushoto pamoja na Balozi wa Saudia Arabia nchini Tanzania Mhe. Yahya Ahmed Okesh Jijini Riyadh nchini Saudi Arabia tarehe 10 Novemba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri Mkuu wa Ethiopia Mhe. Abiy Ahmed, kando ya Mkutano wa Saudi Arabia na Nchi za Afrika unaofanyika Jijini Riyadh tarehe 10 Novemba, 2023.