Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Peter Mathuki Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 13 Juni, 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkaribisha Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Peter Mathuki mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Peter Mathuki mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia zawadi ya Picha ya kuchora aliyopewa na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Peter Mathuki mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam

Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Dkt. Peter Mathuki akizungumza na Wanahabari mara baada ya mazungumzo yake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan Ikulu Jijini Dar es Salaam

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *