Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Vijana wa Mkoa wa Mwanza leo tarehe 15 Juni, 2021 katika mkutano uliofanyika katika uwanja wa Nyamagana mkoani Mwanza
Sehemu ya Vijana waliohudhuria Mkutano wao na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan uliofanyika katika uwanja wa Nyamagana mkoani Mwanza
Vijana mbalimbali wa Mkoa wa Mwanza pamoja na maeneo mbalimbali nchini wakicheza katika shamrashamra za mkutano huo kabla ya kuanza kusikiliza hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Post navigation
← MATUKIO MBALIMBALI YA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ALIPOFANYA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU TATU MKOANI MWANZA KUANZIA TAREHE 13-15 JUNI, 2021
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan azindua Chelezo katika Bandari ya Mwanza South mkoani Mwanza tarehe 15 Juni, 2021 →