Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan Awasili Nchini Burundi Kuanza Ziara ya Kitaifa ya Siku Mbili Leo Tarehe 16 Julai, 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili  katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Melchion Ndadaye  Jijini Bujumbura Burundi kwa ajili ya kuanza ziara ya kitaifa ya siku mbili nchini humo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Makamu wa Rais wa Burundi Mkuu wa Burundi  Mhe. Prosper Bazombanza alipowasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa Melchion Ndadaye  Jijini Bujumbura Burudi kwa ajili ya kuanza ziara ya kitaifa  ya siku mbili.
Baadhi ya wananchi waliojitokeza kumpokea Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan alipowasili mjini Bujumbura nchini Burundi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *