
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Melchion Ndadaye Jijini Bujumbura Burundi kwa ajili ya kuanza ziara ya kitaifa ya siku mbili nchini humo.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Melchion Ndadaye Jijini Bujumbura Burundi kwa ajili ya kuanza ziara ya kitaifa ya siku mbili nchini humo.