Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan Awasili Ikulu Ntare Jijini Bujumbura, Burundi Kuzungumza Na Rais wa Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye Leo Tarehe 16 Julai, 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye, alipowasili Ikulu Ntare House Jijini Bujumbura Burundi  katika ziara ya Kitaifa nchini humo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua gwaride la Jeshi la Jamhuri ya Burundi  alipowasili Ikulu Ntare Jijini Bujumbura, Burundi  katika ziara ya Kitaifa Nchini humo 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipanda Mti wa Mwembe mbele ya Jengo la Ikulu ya Ntare Jijini Bujumbura, Burundi  katika ziara ya Kitaifa nchini humo 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye Ikulu Ntare Jijini Bujumbura

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *