Ziara ya Mhe. Samia Suluhu Hassan Mkoani Manyara na Kilimanjaro Tarehe 05 Septemba, 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wananchi wa Mererani Mkoani Manyaara tarehe 05 Sept, 2021 kabla ya kuanza kurekodi kipindi maarufu cha Royal Tour kitakachotangaza Utalii, Biashara na Uwekezaji Nchini.
Wananchi wa Mererani Mkoani Manyaara wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa akiwasalimia tarehe 05 Sept, 2021 kabla ya kuanza kurekodi kipindi maarufu cha Royal Tour kitakachotangaza Utalii, Biashara na Uwekezaji Nchini. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wananchi wa Boma Ng`ombe Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro tarehe 05 Sept, 2021 alipokua njiani akielekea Marangu kwa ajili kurekodi kipindi maarufu cha Royal Tour kitakachotangaza Utalii, Biashara na Uwekezaji Nchini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasalimia Wananchi wa Himo Wilaya ya Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 05 Sept ,2021 alipokua njiani akielekea Marangu kwa ajili kurekodi kipindi maarufu cha Royal Tour kitakachotangaza Utalii, Biashara na Uwekezaji Nchini
Wananchi wa Himo wakimsikiliza Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan aliposimama kuwasalimia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *