Ziara ya Royal Tour ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan katika Mikoa ya Arusha na Mara tarehe 06 Septemba, 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi wa Karatu Mkoani Arusha alipokua njiani akielekea Ngorongoro kwa ajili kurekodi kipindi maarufu cha Royal Tour kitakachotangaza Utalii, Biashara na Uwekezaji Nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi wa Serengeti Mkoani Mara alipowasili kwa ajili kurekodi kipindi maarufu cha Royal Tour kitakachotangaza Utalii, Biashara na Uwekezaji Nchini.
Wananchi wa Serengeti Mkoani Mara waliojitokeza kumsikiliza Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan alipowasili kwa ajili kurekodi kipindi maarufu cha Royal Tour kitakachotangaza Utalii, Biashara na Uwekezaji Nchini.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *