Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan Azungumza na Mwenyekiti wa Mabenki ya Standard Charted na Viongozi Wengine Glasgow Scotland Tarehe 2 Novemba, 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na  Mwenyekiti wa Bodi ya Mabenki ya Standard Charted katika ngazi ya Kimataifa  José Viñals mara baada ya mazungumzo yao Glasgow Scotland leo tarehe 02 Novemba, 2021
.
.
.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mhe. Dkt. Asha-Rose Migiro wakati akielekea kwenye Mkutano maalumu wa Viongozi Wanawake wanaoshiriki Mkutano wa 26 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi COP26  unaoendelea katika Mji wa  Glasgow, Scotland leo tarehe 02 Novemba, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Mkutano huo maalumu wa Viongozi Wanawake wanaoshiriki Mkutano wa 26 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi COP26  unaoendelea katika Mji wa  Glasgow, Scotland leo tarehe 02 Novemba, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi mbalimbali Wanawake katika Mkutano huo maalumu wa COP 26 unaoendelea katika Mji wa  Glasgow, Scotland leo tarehe 02 Novemba, 2021
.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *