Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan Ashiriki Maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru katika Uwanja wa Uhuru, Jijini Dar es Salaam leo Tarehe 09 Desemba, 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na kuwapongeza Watanzania kwa kutimiza  miaka 60 ya  Uhuru wa Tanzania Bara, katika Maadhimisho  yaliyofanyika leo tarehe 09 Desemba 2021 katika Uwanja wa Uhuru  Jijini Dar es Salaam.
.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akikagua Gwaride la Vikosi vya Ulinzi na Usalama kwenye Maadhimisho ya kutimia miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara yaliyofanyika leo tarehe 09 Desemba 2021 katika Uwanja wa Uhuru  Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipokea Heshima ya Wimbo wa Taifa  kwenye Maadhimisho ya kutimia miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara yaliyofanyika leo tarehe 09 Desemba 2021 katika Uwanja wa Uhuru  Jijini Dar es Salaam.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
baadhi ya Watoto wa halaiki wakifanya maonesho katika maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru
.
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwapungia kuwasalimia wananchi waliohudhuria katika sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam

Vikosi mbalimbali vya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania JWTZ vikipita kikakamavu mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan katika sherehe za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru zilizofanyika katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam leo tarehe 9 Desemba, 2021.
.
.
.
.
.
.
.
.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *