
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Ujumbe wa Tanzania katika mazungumzo Rasmi na Ujumbe wa Kenya ulioongozwa na Rais wa Kenya Mheshimiwa Uhuru Kenyatta Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 10 Desemba, 2021.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Mkutano na Waandishi wa Habari kuhusu mambo mbalimbali ya Ziara ya Rais wa Kenya Mheshimiwa Uhuru Kenyatta Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 10 Desemba, 2021.


Rais wa Kenya Mheshimiwa Uhuru Kenyatta akizungumza katika Mkutano na Waandishi wa Habari kuhusu mafanikio mbalimbali yaliyopatikana katika ziara yake ya siku mbili nchini Tanzania.