Ziara ya Mhe. Samia Suluhu Hassan Wilaya ya Chunya tarehe 06 Agosti, 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na kuzungumza na Wananchi wa Kijiji cha Chalangwa Wilaya Chunya Mkoani Mbeya alipokua njiani akielekea Chunya mjini tarehe 06 Agosti, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wananchi wa Chunya Mjini Mkoani Mbeya alipokua njiani akielekea Makongorosi kwa ajili ya kukagua mradi wa Barabara ya kiwango cha lami km 39 Chunya Makongorosi tarehe 06 Agosti, 2022.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizinduzi mradi wa Maji Makongolosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya tarehe 06 Agosti, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisogeza kitambaa kuashiria uzinduzi wa mradi wa Maji Makongolosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya tarehe 06 Agosti, 2022.
.
.
.
.
.
.
.
.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *