TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Sixtus Mapunda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga.  Bw. Mapunda anachukua nafasi ya Bi. Jane Nyamsenda ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Uteuzi huu unaanza mara moja. 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *