Mhe. Rais Samia amkabidhi Cheti Msanii na Muandaaji wa Filamu maarufu nchini China Jin Dong kama Balozi wa Utalii nchini tarehe 20 Agosti, 2023

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Muigizaji maarufu wa Filamu nchini China, Jin Dong cheti cha Ubalozi wa Heshima wa Kutangaza Utalii wa Tanzania nchini China wakati alipotembelea Jiji la Arusha tarehe 20 Agosti, 2023.
.
.
.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *