TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

UTENGUZI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Bw. Michael Songora Mjinja, Kamishna wa Petroli na Gesi – Wizara ya Nishati.

Bw. Mjinja atapangiwa kazi nyingine.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *