RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AWAAPISHA MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI, KAMISHNA WA MAADILI NA MAJAJI WANNE WAPYA WA MAHAKAMA YA RUFANI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM DESEMBA 23,2016

unnamedRais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Jaji Rehema Kiwanga Mkuye  kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 23, 2016

unnamed-1 Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiweka sahihi hari ya kiapo baada ya kumuapisha Jaji Rehema Kiwanga Mkuye  kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa Ikulu jijini Dar es salaam leo Desemba 23, 2016

unnamed-2Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha jaji Sivangilwe Sikalalilwa Mwangosi  kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 23, 2016

unnamed-3 Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha jaji Dkt. Gerald Ndika kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 23, 2016

unnamed-4Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimwapongeza baada ya kuwaapisha kuwa Majaji  wa Mahakama ya Rufaa Ikulu jijini Dar es salaam leo Desemba 23, 2016

unnamed-6 Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Jaji Jackobs Mwambegele  kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa Ikulu jijini Dar es salaam leo Desemba 23, 2016

unnamed-7

 

unnamed-9Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na wageni waalikwa baada ya kuwaapisha Majaji  wa Mahakama ya Rufaa Ikulu jijini Dar es salaam leo Desemba 23, 2016

10hgsgsgsgsRais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mhe Angellah Kairuki, Jaji Mkuu Mhe Mohamed Chande Othman Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, katika picha ya pamoja na Majaji  wapya wanne wa Mahakama ya Rufaa walioapishwa Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 23, 2016

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *