MHE.RAIS SAMIA S. HASSAN AKUTANA NA MAKAMO MWENYEKITI WA CCM BARA MZEE MANGULA, NA DKT,GHALIB BILAL MAKAMO WA RAIS MSTAAFU UWANJA WA NDEGE DODOMA.

Q

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Mohamed Gharib Bilal na  Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa Mzee Philip Mangula kwenye Uwanja wa Ndege wa Dodoma wakati kupokea Mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli Jana Usiku March 21,2021.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *