RAIS SAMIA SULUHU HASSAN NA RAIS MWINYI WASHIRIKI KONGAMANO LA KITAIFA LA DINI KUOMBEA TAIFA NA MAISHA YA HAYATI MAGUFULI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa Kongamano la kitaifa la Dini la kuombea Taifa na Maisha ya Hayati Rais Magufuli ukumbi wa Chimwaga. Dodoma Tarehe 18 April 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi, Makamu wa Rais Dkt Philip Mpango
na viongozi wa dini wa madhehebu mbalimbali akishiriki kuomba dua
kabla ya kuanza kwa Kongamano la Viongozi wa Dini la Kuomuombea na
Kuombea Taifa pamoja na kumshukuru Mungu kwa ajili ya Maisha ya
aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Magufuli katika
Ukumbi wa Chimwaga jijini Dodoma leo Jumapili Aprili 18, 2021

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *