











Rais wa Jmahuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika Picha ya Pamoja na Marais wastaafu Rais mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi , na Mhe.rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete mara baada ya mhe. rais Samia kumaliza kulihutubia Bunge la jamhuri ya muungano jijini Dodoma leo Tarehe 22 April 2021