Mhe. Rais Samia Suluhu hassan Akisungumza na Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu wakuu wa Wizara mbalimbali katika Kikao Kazi Jijini Dodoma tarehe 21 Januari, 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali za Serikali katika Kikao Kazi kilichofanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete tarehe 21 Januari, 2022 Jijini Dodoma.
.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na kuzungumza na Wananchi wa Bomang’ombe Mkoani Kilimanjaro wakati akielekea Moshi mjini tarehe 21 Januari, 2022
 
.
.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Kilimanjaro mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tarehe 21 Januari, 2022
.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia pamoja na Kikundi cha ngoma za asili ya kabila la Kimasai mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tarehe 21 Januari, 2022

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *